Umoja na Amani
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa amesema chuo hicho kinajikita katika kukurubisha madehebu za Kiislamu, umoja, mazungumzo na maelewano baina ya dini.
Habari ID: 3475452 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/02
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu na Hadithi ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa ni tukio kubwa zaidi la Qur'ani Tukufu na Hadithi Duniani.
Habari ID: 3474996 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02